Recent content by makorokosho1

  1. M

    IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

    Rais DKT Magufuli pamoja na waziri mkuu wa misri DKT Mostafa Madbouly washuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme megawadi 2100 katika mto Rufiji,Ikulu jijini Dar es salaa.
  2. M

    Simiyu wajipanga kuja na mpango kabambe kwenye uwekezaji

    Mkoa wa Simiyu umejipanga kuandaa mwongozo wa uwekezaji kwa kila Kijiji na Mtaa utakaobainisha fursa za uwekezaji zilizopo katika kijiji na mtaa husika katika vijiji vyote 471 na Mitaa 92 ya wilaya zote tano za Mkoa huu, ikiwa ni maandalizi ya utekelezaji wa Falsafa ya Bidhaa Moja Kijiji...
  3. M

    Vigogo watano wa WETCU watupwa jela miaka minne

    Mahakama ya Hakimu mkazi Tabora imewahukumu vigogo wa zamani wa chama kikuu cha wakulima wa Tumbaku kanda ya Magharibi (WETCU) kwenda jela kutumikia kifungo cha miaka minne kila mmoja baada ya kutiwa hatiani kwa makosa mawili ikiwamo la kukisababishia chama hicho hasara ya zaidi ya sh. million...
  4. M

    Majaliwa: Tukikukuta umesimama na binti kwenye kona tutakukamata

    Unaweza kusema Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewatangazia vita wanaume wenye tabia za kuwarubuni wanafunzi wa kike na kuwapa ujauzito, baada ya kuwaeleza kuwa watakaokutwa wamesimama kona na mabinti hao watakamatwa. Alitoa kauli hiyo juzi jioni wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa...
  5. M

    Watumishi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA) kortini tuhuma uhujumu uchumi

    Wafanyakazi tisa wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na kesi tatu tofauti dhidi wizi wa mali iliyokuwa safarini na utakatishaji wa zaidi ya Sh. milioni 277. Katika kesi ya kwanza washtakiwa walifikishwa...
  6. M

    Wakazi wa kanda ya ziwa watakiwa kuchangamkia fursa

    Wakazi wa kanda ya ziwa watakiwa kuchangamkia fursa Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias John Kwandikwa amewataka wakazi wa mikoa ya Mwanza na Geita kuchangamkia fursa za kiuchumi na kijamii zitakazojitokeza wakati wa ujenzi wa daraja litakalounganisha eneo la Kigongo na Busisi Mkoani Mwanza. Amesema...
  7. M

    Wafanyabiashara wa kemikali watakiwa kuwa na leseni

    Mkemia mkuu wa serikali imesema inafikiria namna ya kuwawezesha wajasiriamali wadogo, kuwa na leseni za kununua na kuuza kemikali ili kuendana na taratibu zilizopo.
  8. M

    Watanzania shangilieni; mwaka 2020 Mungu atatenda muujiza!

    UMENENA VEMA MSEMA KWELI@HATA IRAQ WALILALAMIKA MAISHA MAGUMU WALIOZESHWA WALILIPIWA MALI NA KUPEWA MSHAHARA BILA KUFANYAKAZI,NYUMBU AWAONI MAENDELEO MACHO YENU YANA MATONGOTONGO SIKU MATONGOTONGO YAKITOKA KWENYE MACHO YETU NDIO MTAONA,JIWE ATAPITA 2020 KWA KISHINDO.
  9. M

    Waziri Mkuu awapongeza wananchi kwa ujenzi wa shule

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ruangwa, Novemba 20, 2018. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Hashim Ngandirwa. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ruangwa, Novemba 20, 2018. Baadhi ya wanawake...
  10. M

    Mvuto wa Magufuli kwa Upinzani: Mbunge wa Ndanda (CHADEMA), Cecil Mwambe anadi Ilani ya CCM bungeni

    Faustine Masunga Kianzishi cha Majadiliano · 16 Novemba saa 09:20
Back
Top Bottom