Huo sio uamuzi sahihi Dada, bora ungejishughulisha na vibarua. Mungu angekubariki sana. Huo hakuwa muda wa kumlipa mabaya. Kumbuka yeye alipokuwa na kazi hakutumia kazi na fedha zake kukulipa mabaya. Why wewe umlipe mabaya. Kukosa kazi, magonjwa, na kukosa hela usimpote mwenzii kwa ubaya. Tubu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.