Sijafnya kibri na sioni haja ya kuwa hvyo. Nimejitahid kuheshimu na kuwajali hata hawa waliokuwa wananifanyia ubaya nikiwa najua. na ningekuwa hvyo nafkir ningelipa kisasi
Mimi ni kijana (Me) wa miaka 30 na ninaishi Dar es salaam. Mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya elimu na niko katika hatua ya mwisho ya kuhariri tasnifu yangu ili niweze kuhitimu shahada ya umahiri katika mipango na menejimenti ya miradi.
Nilikuwa nafanya kazi kwny kampuni moja na miezi sita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.