Recent content by Makongoro Igana

  1. Makongoro Igana

    Nimepoteza kazi kwa sababu ya fitna

    Asante kaka kwa kunitia moyo
  2. Makongoro Igana

    Nimepoteza kazi kwa sababu ya fitna

    Anayeongoza jopo ni mngoni
  3. Makongoro Igana

    Nimepoteza kazi kwa sababu ya fitna

    Sijafnya kibri na sioni haja ya kuwa hvyo. Nimejitahid kuheshimu na kuwajali hata hawa waliokuwa wananifanyia ubaya nikiwa najua. na ningekuwa hvyo nafkir ningelipa kisasi
  4. Makongoro Igana

    Nimepoteza kazi kwa sababu ya fitna

    Mimi ni kijana (Me) wa miaka 30 na ninaishi Dar es salaam. Mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya elimu na niko katika hatua ya mwisho ya kuhariri tasnifu yangu ili niweze kuhitimu shahada ya umahiri katika mipango na menejimenti ya miradi. Nilikuwa nafanya kazi kwny kampuni moja na miezi sita...
Back
Top Bottom