Ndg unaongea nini mbona Dr Slaa alikuwa ccm miaka yote sasa ni katibu mkuu cdm? Mbona Prof safari alikuwa CUF miaka mingi? Mkiendekeza uhasama mtapoteza jimbo, km wewe ni mwanasumve mpigie simu uongee naye upate majibu yake, ni kijana ambaye yuko free kujadili lolote.
Nadhani vyama vyote view makini na mamluki, wapo ccm, chadema, cuf, act nk. Huwezi kujua uzuri wa kitabu kwa kukiangalia nje, kisome ndani. Sauti ya wananchi ndiyo sauti ya wapiga kura. Msitafutane uchawi ndani ya vyama vyenu hamtashinda. Jengeni umoja hata pale hukubaliani na maamzi ya chama au...
Kaka huyu Dr Longino, mimi nimemshuhudia akimwaga sera wakati wa kura za maoni 2010. Ni mgombea pekee aliyekuwa anamwaga sera za ushawishi na hakuwa anahonga wapiga kura km wenziye. Km angehonga, hata watu wanasema wazi, siyo siri, Dr Longino angekuwa mbunge sasa hivi. Tatizo lake ni hilo hatowi...
Kaka labda wewe hukai huko au unachuki naye binafsi au na wewe ni mashindani wake wa kisiasa. Sijaona ulipoelezea udhaifu wake wowote. Mimi nimekuwa nanunua pamba huko kwa muda wa miaka kama kumi hivi sasa. Watu wanamlaumu kwa kutogawa rushwa tu lakini amewasaidia vijana kujiunga na vyuo...
Huyu Dr Longino nimeambiwa alishiriki kura za maoni ccm mwaka 2010 akawa wa pili. Ila watu wengi hapa jimboni wanasikia ameombwa agombee kupitia chadema/ukawa. Nimekutana na kiongozi mmoja wa jimbo chadema akasema wanamsubiri kuja kumtambulisha rasmi kwa wananachi na kuchukua fomu. CV yake...
Huyu Dr Longino nimeambiwa alishiriki kura za maoni ccm mwaka 2010 akawa wa pili. Ila watu wengi hapa jimboni wanasikia ameombwa agombee kupitia chadema/ukawa. Nimekutana na kiongozi mmoja wa jimbo chadema akasema wanamsubiri kuja kumtambulisha rasmi kwa wananachi na kuchukua fomu. CV yake...
Huyu Dr Longino nimeambiwa alishiriki kura za maoni ccm mwaka 2010 akawa wa pili. Ila watu wengi hapa jimboni wanasikia ameombwa agombee kupitia chadema/ukawa. Nimekutana na kiongozi mmoja wa jimbo chadema akasema wanamsubiri kuja kumtambulisha rasmi kwa wananachi na kuchukua fomu. CV yake...
Huyu Dr Longino nimeambiwa alishiriki kura za maoni ccm mwaka 2010 akawa wa pili. Ila watu wengi hapa jimboni wanasikia ameombwa agombee kupitia chadema/ukawa. Nimekutana na kiongozi mmoja wa jimbo chadema akasema wanamsubiri kuja kumtambulisha rasmi kwa wananachi na kuchukua fomu. CV yake...
Dr wanasumve wanataka kujua lini unakuja kuchukua fomu za kugombea ubunge jimbo la sumve? Vijana wanataka kukuandalia mapokezi makubwa na kukusindikiza kwenda kuchukua fomu.
Mimi niko huku tunaanza maandalizi ya kununua pamba, vijana na akina mama wanasema mwaka huu ni wako na kamwe...
Yule jamaa niliyekuta jina lake linavuma sana jimbo la sumve mwaka jana wakat wakununua pamba, nimemsaka mtandaoni na kuona ataongoza mjadala wa katiba ya Tanzania chuo kikuu cha London tarehe 28/2/15 ni Dkt Fredrick Longino. Huko jimbo la sumve Mwanza wanasema anakubalika sana lakini inabidi...
Kama una nia kweli weka jina lako ili tupate kulieneza, wengine huko ndiko tunafanyiakazi. Pia vyema wanasumve wakapata muda wa kuwajadili nyie wenye nia hiyo njema.
Juzi tulikuwa na ziara ya kufuatilia maandalizi yaununuzi wa zao la Pamba wilayani Kwimba. Katika mizunguko yetu tulipita jimbola Sumve. Kama kawaida siku hizi mijadala ya kisiasa haiishi kwa watu. Watuwengi wakawa wanasema hawamtaki kabisa Ndassa amekuwa madarakani miaka 20.Wakawa wanasema...
Juzi tulikuwa na ziara ya kufuatilia maandalizi ya ununuzi wa zao la Pamba wilayani Kwimba. Katika mizunguko yetu tulipita jimbo la Sumve. Kama kawaida siku hizi mijadala ya kisiasa haiishi kwa watu. Watu wengi wakawa wanasema hawamtaki kabisa Ndassa amekuwa madarakani miaka 20. Wakawa wanasema...
Mimi nchi yangu inanishangaza sana. Mara nyingi huwa inaingia gharama kununua mitambo ya kisasa tena kwa majigambo makubwa lakini mara nyingi huwa haitumiki. Majuzi tuliaminishwa kuwa serikali ilikuwa halali kutumia billioni 82 kukarabati ukumbi wa bunge la katiba, ikiwa ni pamoja na kufunga...
Mwigulu arudishe posho ya bunge la katiba. Anapaswa awe kwenye kazi ya kutengeneza katiba, yeye km waziri wa fedha anaonyesha mfano mzuri wa kuchukua posho za kuwa anahudhuria bunge la katiba mbali na kuwanyima wapiga kura wake nafasi ya kuwakilishwa katika mijadala inayoendelea juu ya bunge la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.