Habari zenu.
Mimi ni Frank 23yrs old ni graduate wa Stashahada (Diploma) ya Business Administration, natarajia kuendelea na shahada (Bachelor degree)naomba ushauri wenu wakuu kwenye kuchagua kozi ambayo ni nzuri ya kuendelea nayo.
Asante sana [emoji120][emoji120].
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.