Waswahili husema "Mwanzo Mgumu" kutoka na msemo huu tunaweza kujenga hoja kwamba, kila kinachoonekana kuna mwanzo ulio mgumu.
Leo Jamii forum inawafuasi zaidi ya milioni moja lakini ilianza na mtu mmoja.
Mwaka 2013 nilimaliza kidato cha nne Shule ya Sekondari Orkolili iliyopo Wilaya ya Siha...
Mtu huwa makini afanyapo jambo kwa juhudi na uangalifu wa hali ya juu. Mwanafunzi anayesoma kwa bidii anaonekana na umakini katika kusoma kwake, mfanyabiashara anayejituma kwenye biashara yake tunamwita mfanyabiashara "Makini".
Mtu makini huwa na malengo anayotaka kuyafikia, na hufanya juhudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.