Ndugu zanguni,
Amani iwe kwenu.
Nabisha hodi, baada kuona BCS imeyeyuka bila kujimwaga, nimeona sasa niwakti bora wa mimi kuanza kutoa kile nilicho nacho, hivyo nitakuwa nanyi hapa kwenye ukumbi huu.
wasalam
Makengeza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.