Habari
Biashara ya mtandaoni imekuwa kuwa sana sasa hivi ambapo wateja na wauzaji wanatafutana mtandaoni. Changamoto kubwa sana ni auminifu kati ya mnunuzi na muuzaji, Je kwanini kampuni za simu na zinachelewa kuanzisha Escrow account kwa wateja wa mitandao ya simu?
Habari,
Hivi kwa mfanyabiashara anaeuza bidhaa nje ya nchi akitaka kulipwa kwa kutumia paypal afanyaje? Tanzania haiko listed kama unaweza ku receive money kwa paypal
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.