Habari wanajamii forum, naomba kuuliza, nikikaa muda mrefu kwenye kiti au nikilala baada ya kuamka na kuanza kutembea visigino vinauma sana kama dak 5 hv ndo narud kwenye hali yangu ya kawaida, na hili tatzo ni linajirudia kila nikikaa au kulala na kuamka. Naomba msaada tatzo ni nn?
Asantanen sana.
Habari wanajamii forums!
Naomba kuuliza, nikikaa muda mrefu kwenye kiti au nikilala baada ya kuamka na kuanza kutembea visigino vinauma sana kama dak 5 hv ndo narud kwenye hali yangu ya kawaida.
Hili tatzo ni linajirudia kila nikikaa au kulala na kuamka. Naomba msaada tatzo ni nn?
Aksanten sana.
Wakuu habari za majukumu,
Naomba msaada wa vyuo ambayo vinatoa degree ya ICT, Computer Science au IT vilivyopo hapa Dar es Salaam kwa evening classes.
Asanteni.
Wakuu habari za majukumu, samahani ninaomba mnifahamishe vyuo ambavyo vinatoa degree ya ICT/IT/COMPUTER SCIENCE/BUSSNESS IT au related course, kwa Dar es salaam. Lakini iwe session ya jion{ EVENING CLASSESS}.
Aksante.
wakuu habari za majukumu, samahani ninaomba mnifahamishe vyuo ambavyo vinatoa degree ya ICT/IT/COMPUTER SCIENCE/BUSSNESS IT au related course, kwa Dar es salaam. lakin iwe session ya jion{ EVENING CLASSESS}.
Aksante.
HIGHER EDUCATION STUDENTS' LOANS BOARD FRESHERS' LOAN ALLOCATIONS FOR ACADEMIC YEAR 2014/15
To view your Loan Allocation, kindly type your Form IV Index number in the space provided and Type in the security...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.