Wakuu samahani mfano mmeitwa oral utumishi lakini kwenye tangazo la kazi walihitaji watu wa education,psychology,home economics,social work na nafasi ya kazi ni Janitor. Je kwenye oral interview watauliza sana maswali kwenye kada ipi. Naomba uzoefu kidogo hapo
Naomba msaada inakuaje mtu ambaye amesoma diploma in secondary education akitaka kuomba nafasi za kazi ambazo zinahitaji diploma in education mfumo unamgomea ila ikabdilisha na kidogo jina la kozi na kujaza diploma in education with arts mfumo huo huo unakubali je akifanya hivyo ataitwa kwenye...
DUCE jana kulifanyika interview cha kushangaza badala ya kutoa matokeo kwenye page ya sekretarieti ya ajira wanadai walio faulu waliwapigia simu waende kwenye oral leo .nikajiuliza huu utaratibu sekretarieti wameanza lini na je kama mtu kafeli amefeli kwa kupata alama ngapi na huyu aliyefaulu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.