Recent content by makalango

  1. M

    Nafasi za kazi VETA, Machi 2024

    Mshahara veta ukoje mfano mwenye diploma. Anayejua please kama pia Kuna posho na allowance nyingine
  2. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu samahani mfano mmeitwa oral utumishi lakini kwenye tangazo la kazi walihitaji watu wa education,psychology,home economics,social work na nafasi ya kazi ni Janitor. Je kwenye oral interview watauliza sana maswali kwenye kada ipi. Naomba uzoefu kidogo hapo
  3. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naomba msaada inakuaje mtu ambaye amesoma diploma in secondary education akitaka kuomba nafasi za kazi ambazo zinahitaji diploma in education mfumo unamgomea ila ikabdilisha na kidogo jina la kozi na kujaza diploma in education with arts mfumo huo huo unakubali je akifanya hivyo ataitwa kwenye...
  4. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Na mimi mdogo wangu amepata kafanya interview kama 15 hatimae kapata hizi za leo.Mungu mkubwa msikate tamaa
  5. M

    Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

    Ndio umeliwa hivyo hahahaha hakuna vya bure
  6. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wenzao MUCE mbona wametoa matokeo kwenye mfumo tayari kwa nini DUCE matokeo iwe siri?
  7. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    DUCE jana kulifanyika interview cha kushangaza badala ya kutoa matokeo kwenye page ya sekretarieti ya ajira wanadai walio faulu waliwapigia simu waende kwenye oral leo .nikajiuliza huu utaratibu sekretarieti wameanza lini na je kama mtu kafeli amefeli kwa kupata alama ngapi na huyu aliyefaulu...
  8. M

    Takukuru na sekretarieti ya ajira chunguzeni haraka kinachotokea DUCE, ni aibu

    Duuu aiseee mtu kafaulu sawa ila mbona vyuo vyote wanaweka wazi kafaulu kwa alama ngapi toka lini kuanza kupigiana simu tena
  9. M

    Mliofanya interview DUCE kuna aliyepata matokeo?

    Web ipi ya DUCE AU sekretarieti ya ajira?
  10. M

    Mliofanya interview DUCE kuna aliyepata matokeo?

    Tunaomba hiyo web yao please
  11. M

    Mliofanya interview DUCE kuna aliyepata matokeo?

    Hapo inashangaza kweli hata kama watu wamefeli si watoe matokeo wajue kuna shida gani?
  12. M

    Mliokuwa short-listed MUCE, mmeona interview number?

    Usikute walio faulu wamefikishiwa taarifa
Back
Top Bottom