Recent content by makalango

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tunaotarajia kuomba Open University of Tanzania tukutane hapa wakuu

    Hivi kusoma international relations and sociology ipi bora kwa in-service?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Aliyewahi fanya interview TANROADS weighbridge officer naombeni msaada nijiandae wapi?

    Hivi kibaha hawajaita tu kwenye Interview miezi miwil sasa kimya
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ajira Portal - Tutorial Assistance, nikapply kazi inaniambia 'Job Application failed because Your Profile is incomplete'

    Labda siyo mzoefu na hizi kazi za tutorial kama hicho kigezo wanataka huwa wanaweka kwenye tangazo.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ajira Portal - Tutorial Assistance, nikapply kazi inaniambia 'Job Application failed because Your Profile is incomplete'

    Hicho kigezo wewe umekitoa wapi wakati kwenye sifa hakipo?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ajira Portal - Tutorial Assistance, nikapply kazi inaniambia 'Job Application failed because Your Profile is incomplete'

    Hili ni janga tutorial wanahitaji Bachelor of arts with education na gpa 3.8 mtu ana sifa hizo ila ukiomba inagoma nilijua kwangu tu.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Malipo ya likizo

    Kwenye mkataba wako uliambiwa ukifanya kazi miezi 8 utalipwa likizo? Hata serikali haina utaratibu huo wa kufanya miezi 8 ulipwe likizo
  7. M

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Usaili TRA Kutangazwa Aprili 25, 2025

    Subiri taarifa kwa umma tu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nina mashaka na TRA huenda wakachakachua matokeo

    Leo napo kuna taarifa kwa umma
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwa vilio vinavyosikika kutoka kwa wabunge Ni dhahiri NBAA na TRA wamefanya kazi nzuri kwenye mchakato wa usaili

    Akili nyingine bwana hao NBAA ndio hawana vimemo kilichonishangaza mimi kusahisha karatasi laki moja kwa siku 30
  10. M

    JamiiForums Tanzania Waombaji ajira za Ualimu waitwa Usaili

    Sorry nimeona mkuu maana zimetoka taarifa nyingi feki
  11. M

    JamiiForums Tanzania Waombaji ajira za Ualimu waitwa Usaili

    Kama imekaa kifeki hivi
  12. M

    JamiiForums Tanzania Namtafutia mwanangu nafasi ya shule ya serikali form one 2025

    Naomba mimi pwani kisarawe
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi VETA, Machi 2024

    Mshahara veta ukoje mfano mwenye diploma. Anayejua please kama pia Kuna posho na allowance nyingine
Back
Top Bottom