Ukiwa mtu wa mihemko ni ngumu kumuelewa Shigongo lakini anajitahidi
kuwatetea Watanzania bungeni ili wamiliki uchumi wa nchi yao. Alipambana mpaka sheria ya manunuzi ikabadilishwa na sasa tenda zote za mpaka bilioni 50, hazifanywi na wageni, lengo ni kuwasaidia wazawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.