Recent content by Major Minor

  1. M

    Wabunge wa Upinzani wagoma kuteua Wenyeviti PAC na LAAC

    According to thread ni kwamba walioteuliwa hawana uwezo wa kuwa wenyevit wa kamat hizo.. c dharau hizo sasa yani wabunge wako useme hawana uwezo sasa lini watakua wana uwezo
  2. M

    Uchambuzi: Rais Magufuli hakuwa sahihi kuvaa nguo za kijeshi, vinginevyo.....

    Tafuta picha za ufunguzi wa meli ya kivita ya kenya uone kenyata alivaaj? Ilikua mwaka jana.. watanganyika tuache kushabikia vitu visivyo vya msingi... Hiv mbona wakienda viwandan huwa wanavaa helmet,reflectors... Sasa alipoenda kwenye medan za vita akivaa gwanda kuna tatzo gan wakat yy ni CIC
  3. M

    Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    kanunue persol gel 5 paka ucku baada ya kuog
  4. M

    Soma Taarifa Maalum Kutoka IKULU:Rais Kikwete amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Rais wa Sudan

    hata hauelewek... nyie ndio waeneza udini wenyewe kwa nn umsemee mtu
  5. M

    Soma Taarifa Maalum Kutoka IKULU:Rais Kikwete amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Rais wa Sudan

    defensive mechanism ya nn. rais ni amir jesh mkuu. lazma ahoj kwa nn ni vle.. wale ni peace keapers hawakwenda kule kivta ingekua hvyo tungewasaka wenyewe.. co mnaponda tumien logic sme tyms..
  6. M

    Naombeni mnisaidie ishu hii nzito

    Peleka jwa fundu kuna jinc ya kuipgsha shoti then bios paswrd iatoka
Back
Top Bottom