Recent content by majinyari jr

  1. M

    Wabunge wa UKAWA mkoa wa Kigoma

    Hahahaaaa mjomba unachekesha kwani ukawa Ni chama....sema wote hao wanne watarudi bungeni kupitiac chama cha nccr-mageuzi
  2. M

    Yared Fubusa, Ndiye Chaguo la wana Kigoma Kaskazini

    Siku zote huyo jamaa alikuwepo....but asingeweza kupambana na zitto kwani ni marafiki sana....
  3. M

    Yared Fubusa, Ndiye Chaguo la wana Kigoma Kaskazini

    Kweli kabisa Mwl Jashia atamsumbua sana huyo fubusa....
  4. M

    Yared Fubusa, Ndiye Chaguo la wana Kigoma Kaskazini

    Kama watu wa kigoma ni wabinafsi, basi wa kaskazini ni zaid ya hapo....
  5. M

    Yared Fubusa, Ndiye Chaguo la wana Kigoma Kaskazini

    Exactly ulichosema mpanga Wang yared alichowafanyia wananchi katika blonde la MTO mungonya hawawezi kua wamesahau Mara hii...kama kweli anagombea ajipange hasa kwani mziki wa huyo kijana Jashia khamisi ni hatari sana...
  6. M

    Kigoma sio ndondocha

    Hahahaaa watanzania wengi maskini..usiwaonee kigoma.
Back
Top Bottom