Samahani kidog kam unawez kunijib kam nilivo kuambiy mwanzo kwamba vyakwang ni vidog na ww ukaniashauri kam ni vidogo unawez ukaweka mafuta kwenye mkono wako na kujizungusha sas mm nilikuw natak 2 nijuw ni kila siku niwe napak au kila week samahani lakin kam ntakuw nakusumbua.
Habari zenu wakuu nilikuwa nahitaji msaada wenu mm nimeanza kufuga dread na kama week ya 3 hivi lakini sijawahi kutumia mafuta yeyote yale coz mimi nilisokota na sabuni 2.
Sasa leo ndo nimenunua mafuta sasa ya dread sijui jinsi ya kutumia unatumia kila siku au katikati ya week au mwisho wa...
Wakuu mpo salama . nilikuwa nahitaji ushauri wenu nilikuwa nataka kufuga dreadlocks je kunakuwaga na mafuta ya kusokotea au hadi uende saloon na ukienda saloon inakuwaga ni bei gani kutengeneza kama so lazima sana kwenda saloon kwa mtu ambaye anajuwa mafuta ya kusokotea naomba aniambiye maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.