Recent content by Majanki

  1. M

    Msaada wana JF jinsi ya kufungua acount ya Gmail

    Kwa anaye fahamu jinsi ya kuanzisha acount ya Gmail anisaidie natanguliza asante.
  2. M

    Led TV hii inaweza kuwa na tatizo gani ?

    Kaka hilo ni tatizo si jambo la kawaida ebu jaribu hyo tv kuifungua kama ni mtaalamu pia chunguza vyema circuit yko mara nying matatizo hyo yanatokana na Capacitor kuto tunza chaji,,,tizama capacitor zote kama azijavimba maana capacitor huwa zinatabia ya kurudia rudia tatzo tofauti na components...
  3. M

    Tv imeharibika tatizo ni nini? Hakuna kilichoungua

    Angalia fuse pima vyombo vyote vya kwenye primary supply ukikuta fuse imeungua usiweke nyingine pima power transistor,resistor za ohm's, diode zote pamoja na zena pia kwa circuit za hitachi kuna resistor muogo zinapitisha umeme wa AC kwenda kwenye diode bridge huwa nazo zinaungua ukikuta vyote...
  4. M

    Jinsi ya ufungaji wa king'amuzi cha Azam.

    Ufungaji wa king'amuzi sio kaz,cha kuzingatia inatakiwa utege dish katika mazingira haya:Unatakiwa ulielekeze dish upande wa magharibi na katika upande wa juu chini ni vyema ukaseti kwa no.60 kwakuwa kuna namba maalumu zimepangiliwa.Ukaaji wa KU ni nyuz 0,signal za mwanzo zinakuwa 16% huwa...
  5. M

    Tv imeharibika tatizo ni nini? Hakuna kilichoungua

    Mambo,je ulisha fanikisha hyo tv.
  6. M

    Jinsi ya kufunga power ya pembeni na kufunga sacket mpya ya yebo kwenye TV flat mbele.

    Ukihitaji kuwa fund utakuwa fund zaid ya mafundi na utamfundisha fundi yoyote yule kupitia Manjaki
  7. M

    Jinsi ya kufunga power ya pembeni na kufunga sacket mpya ya yebo kwenye TV flat mbele.

    Oke kama umepima kila kitu ukakuta kipo sawa mara nyingi tv flat mbele nanyuma(LED,LCD) huwa matatizo yake mengi yanakuwa kwenye CAD circuit.TV flat ni rahisi zaid kutengeneza homa ikiwa upande wa power tena unaweza hata ukatumia power supply yeyote ambayo inaendana na voltage za awal,Ila tatizo...
  8. M

    Jinsi ya kufunga power ya pembeni na kufunga sacket mpya ya yebo kwenye TV flat mbele.

    Yan hiv kuvushia circuit nzima ya power supply tofaut na yakujia kuweka kwenye secondary supply ileile pia kufunga TV board mpya ya yebo(from china) kwenye kioo cha vacuum fup kama singsung flat mbele,samsunga,zec.kuna TV ambazo zinafungika vizur bila usumbufu ila ukikutana hzo tv unabid...
  9. M

    Jinsi ya kufunga power ya pembeni na kufunga sacket mpya ya yebo kwenye TV flat mbele.

    Tv flat mbele iwe singsung,zec,samsung na etc zinatabia ya kuto jaza kioo vertical section pind utumiapo sacket nyingine tofaut na yakujia fahamu zaid 0757803385
  10. M

    Tv,deck&subwoofer repair forum

    Ili kuwa mahili wakupima volt, nimuhimu kuyajua mabadiliko ya umeme wa AC(mkondo geu) na DC (wamoja kwa moja) ujue kipimo cha dc&ac uzitambue diode na Capacitor.fanya yako yote nimuhimu kufahamu mgawanyiko wa volt husika za chombo unachotaka kuki repair,ukifanya hvyo lazima uwe mahili.
  11. M

    Tv,deck&subwoofer repair forum

    Je, unafahamu waweza tumia transformer V12 AC na transistor regulator kwaajili ya kuunda power ya deck la CD???
  12. M

    Tv,deck&subwoofer repair forum

    Fahamu mgawanyiko na mabadiliko ya volt hasa kwenye tv circuit.kuna mabadiliko volt, yanatokea kwenye bahadhi ya circuit capacitor 160V DC, zinarange 110V/102V DC, nikwaajili ya horizantal na matumizi mengine ya flyback transiformer(FBT) 35V DC, range 20V hadi 27V, nikwajili ya vertical IC sasa...
  13. M

    Tv,deck&subwoofer repair forum

    Hamna tabu we uliza lolote utajibiwa nautajiendeleza zaid.
  14. M

    Tv,deck&subwoofer repair forum

    Kwasasa nipo songea hometown ni morogoro no.0757803385 nafundisha na natengeneza hvyo vyombo.
  15. M

    Tv,deck&subwoofer repair forum

    Deck lina side mbili za usomaji cd kuna DVD na VCD ukiona linachagua cd ujue hapo kuna mawil inahitaji lenz isafishe kwa visafishaji maalum ikishindikana ujue hapo teyar lenz inakuwa aina uwezo ibadilishwe,material ya DVD ni mazito kias kwamba lenz ikichoka tu inakuwa aina uwezo wa kusoma ila...
Back
Top Bottom