Recent content by Maishani2018

  1. M

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    Hello Naitwa Octavian mwenye umri wa miaka 37.Natafuta mwanamke wa kuoa mwenye umri kuanzia 28 nakuendelea. Awe mkristu,kabila lolote. Kazi yangu nimejiajiri . Aliye tyr aje pm tuyajenge au anicheck whatsap +255776110821 karibu Sana
  2. M

    Natafuta mke wa kuoa mwaka huu

    Hello wana Jf Jina. Ben Carson Umri. 35 Elimu. Bachelor degree Dini. Mkristu Kazi. Mwajiriwa Urefu. 160cm Naishi. Dar Mtoto. Sina Kuoa. Sijawahi Natafuta mke Wa kuoa mwenye...
  3. M

    Naomba ushauri nivae nguo rangi gani, Viatu gani, ninyoe style gani ili nipendeze?

    Habari,naomba ushauri nivae nguo rangi gani,Viatu gani,ninyoe style gani ili nipendeze? Muonekano wangu mwembamba kiasi,sio mrefu sana,mweusi, nitashukuru Sana
  4. M

    Jukwaa la marafiki wa kweli na waaminifu 2018-2019

    Heri ya krismas na mwaka mpya,Kwanza tumshukuru Mungu kutupa afya njema tunakutana tukiwa watu wapya wenye nia ya kudumisha udugu na upendl kwa rafiki zangu ninao wajua ,jamana waungwana ndugu sio mpaka mzliwe pamoja ni pale mtu anapokua na kukuthamini kwa kila kitu yupo tayari kujitoa kwa hali...
  5. M

    Natafuta mke wa kuoa 2018

    Soma vizuri uielewe najua huwezi elewe ukiangalia kwa negative altitude bali ni hazina kubwa hayo maelezo.Tafakari mara mbilimbili ndio utapata maana nzuri . Nimetumia lugha ngumu kwa asie nania hawezi kuelewa
  6. M

    Natafuta mke wa kuoa 2018

    Habari wana JF, Nimemaliza chuo kikuu ila nimejiajiri mwenyewe kufanya kazi binafsi ya kusafisha mazingira hususani kuzoa taka pamoja na kuzibua vyoo ajira hii inanisaidia kupata ridhiki kwa maana ajira hakuna. Kuandika wasifu huu mfupi namna ninavoendesha maisha nilkua sina jinsi...
  7. M

    Natafuta mke wa kuoa

    Habar wana jf, Mimi ni mtanzania halisi najitokeza Kwa mara ya kwanza kutafuta mke Wa kuoa. Jina : Deric Mabala Umri wangu : 34 Kabila langu : Mbende Mahali napoishi :Dar es salaam Elimu yangu :Chuo kikuu Rangi na muonekano :Mweusi wakawaida Dini :mkristu Urefu wangu : 5.6Ft Umbile : Mnene kiasi...
Back
Top Bottom