Recent content by Maikara

  1. Maikara

    Anachofanya Lissu ni uhaini

    Wakati mwingine ijulikane kuwa kutetea uozo na uhujumu uchumi ni moja ya aina ya uhaini ifike mahali tuwe wajasiri tufanye mambo yetu kwa kujiamini acha lisu abwabwaje huko aliko taifa linasonga mbele. Mnaomuunga mkono hamna jipya! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Maikara

    World Bank: We are very upset about what's happening in Tanzania...

    Sioni hoja hapo kuwasujudia hawa washenzi wa kizungu inabidi kukome tujifunze ya cuba na uchina bidii yetu tu itatufanya watu huru.
  3. Maikara

    Viongozi wa Serikali wilayani Tarime wanawaonea kwa kuwakamata wananchi

    Ni masikitiko yaliyoje kudhulumu haki za raia/ wananchi wa Kijiji cha Kebweye! Viongozi wa serikali wilayani wanawaonea kwa kuwakamata na kuwaweka mahabusu ili hali wao ndo walishambuliwa na kuharibiwa mali zao ikiwa ni pamoja na kuchomewa makazi. Hebu ufumbuzi toka ngazi za juu zaidi ya mkoa...
  4. Maikara

    Serikali itende haki kwenye migogoro ya ardhi

    Ni miaka takribani 38 bado suluhu ya ardhi ya Tarafa ya Inchage Kijiji cha Kebweye haijulikani. Serikali yetu ni sikivu hebu ufumbuzi wa suala hili ufikiwe maana wananchi wamechoka kudanganywa na kwa sasa wanaishi kwa mashaka, kwa sababu vita inayoendelea inakwamisha maendeleo. Ardhi ni mali...
  5. Maikara

    Wananchi Tarime na dhuluma ya Ardhi yao

    Haki ni haki tu hata ikizuiliwa karne itajulikana vitisho si suluhisho!!!
  6. Maikara

    Wananchi Tarime na dhuluma ya Ardhi yao

    Kuna malalamiko haya yasifumbiwe macho. Wananchi wa kijiji cha kebweye wanadhulumiwa ardhi yao, na hili limefanyika tangu 1980 wakati kwa makusudi kabisa mkuu wa wilaya ya Tarime na hata mkuu wa mkoa walipoamua kulifumbia macho hadi sasa limekuwa donda lisilotibika. Hadi nnapoandika mkasa huu...
  7. Maikara

    Kumbe Tanzania siyo Maarufu kihivyo kama tunavyokaririshana

    Kweli kabisa wazungu ni wajinga sana kwao jiografia ni kituo cha polisi!
Back
Top Bottom