Leo magamba walikuwa na mkutano jangwani baadhi ya mambo yaliyojiri:
-Watu kusombwa na mafuso pamoja na mabus kama kawaida
-Nilishuhudia vijana waliokuwa waliokuwa wanazichapa kwa kugombania pesa waliopewa
-Walikuwa wanauza Tshirt zilizoandikwa `CHANA GWANDA NA GAMBA , VAA UZALENDO`
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.