Recent content by mahuta

  1. M

    Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

    Nashukru mkuu kwa ushauri wako, nitauchakata na kuufanyia kazi kadri inavyofaa
  2. M

    Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

    Asante kwa Mawazo yako mkuu, hakuna sehemu nimeandika "sijajua cha kufanya" pia ni haki yako ku-"doubt" master degree yangu. Lakini navyoamini mimi, mtu mwenye utashi kabla hajachukua hatua hata kama amefanya maamuzi, ni bora kukusanya mawazo mbali mbali ya kutosha, husaidia kupunguka kiwango...
  3. M

    Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

    Asante sana mkuu. Side hustles zangu mostly ni utalaam yaani (expertise) kwa hiyo hamna mtu mwingine anaweza fanya zaidi yangu; so shule nayo haiwezi zuia kuifanya nadhani ndio nitakua sehemu sahihi zaidi ya kuifanya maana mostly ni zoom meeting sana Toka nimalize undergraduate nilianza...
  4. M

    Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

    Mungu akupambanie mkuu, kwenye nia pana njia
  5. M

    Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

    Asante mkuu kwa ushauri; ila sijaelewa ulimaanisha nn.
  6. M

    Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

    Wala sikua na maana hiyo maana hizo ndo nilikua nafanya kazi kwenye currency hiyo
  7. M

    Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

    Kuna shughuli nazifanya mkuu, ambazo naokutana nao wakati wa ku defend proposal zangu. Pia nikiwasilisha proposals za miradi naona wanachukulia pia mwenye PhD ana uzoefu sana.
  8. M

    Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

    Nashukru kaka kwa ushauri. Siendi hivyo vyuo mkuu, ulaya salio halitoshi mkuu. Familia itakufa njaa halafu usumbufu wa ticket za ndege, accomodation nk itanisumbua sana.
  9. M

    Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

    Nisame nisame; nisamehe mimi
  10. M

    Ushauri: Niende PhD au niendelee na mapambano

    Wakuu naomba msaada wa mawazo kidogo; nilikua na kazi kwenye taasisi moja hapa nchini lakini nikiwa pale, kipato changu kikubwa kilikua kinatokea kwenye side hustles zangu sana japo na mshahara haukuwa sio mdogo sana (take home $1,200). Hizi side hustles nilikua nafanya kazi km expert kwenye...
Back
Top Bottom