Recent content by MAHUMA k

  1. M

    Nahitaji Lollipop Mold

    Nashukuru Japo matapeli neo wengi
  2. M

    Nahitaji Lollipop Mold

    Unahitaji kuwa na vifaa kwanza hata baazi kwa ww unataka kujifunza huu ujasiliamali
  3. M

    Nahitaji Lollipop Mold

    Asante.... japo nilihitaji kutoka kwa wauzaji wa hapa Tanzania make kutoka nje nafikiri ni gharama kubwa ..
  4. M

    Nahitaji Lollipop Mold

    Mimi ni mjasiliamali naomba kusaidiwa mwenye kujua mahala ambapo naweza kupata wauzaji wa lollipops mold zinatumika kutengeneza pipi za vijiti.
  5. M

    Wapi wanauza paraffin wax ya kutengenezea mishumaa?

    kama unamawasiliano yao naomba unisaidie
  6. M

    Wapi wanauza paraffin wax ya kutengenezea mishumaa?

    asante! unaweza kujua pia ni mahali gani kwa mwanza
  7. M

    Wapi wanauza paraffin wax ya kutengenezea mishumaa?

    unaweza kua unafahamu pia kwa mwanza ni mahali gani tofauti na dar?
  8. M

    Wapi wanauza paraffin wax ya kutengenezea mishumaa?

    Habari, Ndugu zangu, wanaofahamu mahali wanapouza paraffin wax inayotumika kutengenezea mishumaa kwa Mwanza naomba anisaidie na ikipendeza ama kwa mawasiliano yao itanifaa zaidi.
Back
Top Bottom