Itaendeleaje na nyie wakristo wa bara ndio mlioitawala Zanzibar?
Mkitaka Tanzania iendelee acheni kula Rushwa, ubaguzi, ufisadi na acheni maovu yote... ndio TZ itaendelea
Mkiendelea kujifanya wajuaji kuliko Mungu aliyowaumba, TZ itaendelea kubaki nyuma na umasikini utaendelea mpaka siku ya kiyama
Magufuli sio mdini, nyie wakristo wa chini yake ndio watu wadini sana,
Usimtokane Mtume wetu, kama sio huyu Mtume tungeabudu mtu kama nyie mnavyo mwabudu Yesu
Nadhani hawa wakristo wenzetu hawawezi kujirekebisha wala hawawezi kufanya uadilifu kwa Waislamu mpaka vita itimke ndio watakumbuka makosa yao.
But it will be too late.
Ipo siku tutawanyanganya madaraka, ndio uadilifu utaenea.
-------
za mwizi arobaini,
-------
فَإِنَّ مَعَ ٱلْعُسْرِ يُسْرًا
Basi kwa hakika pamoja na uzito upo wepesi,
إِنَّ مَعَ ٱلْعُسْرِ يُسْرًا
Hakika pamoja na uzito upo wepesi.
Ndio maana Tanzania ipo nyuma sana kimaendeleo kwa ajili yenu nyie mnaopenda madaraka lakini wavivu na wala rushwa, na wafojaji...
Rafiki yangu Mheshimiwa Magufuli anawatumbua vizuri sana, In Sha Allah ataweka mambo sawa. Na atawakomesha wahalifu wote,
Tungepata Raisi kama Magufuli tokea...
Unamaanisha Waislamu wote ni wazembe? Au sio?
Huna hoja ndugu.
Waislamu watu bora kabisa, mashupavu wenye kupenda kazi, haki, elimu, Mungu, Usafi, umoja na wenye tabia nzuri.... NK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.