Kwanza swala laukiukwaji Wa taratibu unao fanywa na Bashite ulianza kupigiwa kelele na Mh Zitto kabwe na aka sema huyu kaanza na Wasanii akitoka huko ataanza na Wa Bunge watu wakapuuza punde akaanza na Wa Bunge watu waka shabikia tena hata hao clauds sasa unapo mdekeza mtoto IPO siku atakuvua...
Ccm katiba yake inasema hivyo vyama vyavupinzani still ndo vinakua lazma uweke Mwenyekiti mwenye fun base kubwa mwenye ushawishi kwamfano wewe saivi tukupe wenyekiti hata humutu jf watu hawakujui si Chama kitakufa so lazima ukae ukifikiria mbali xaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.