Nikiweka password kwenye simu yangu anahisi nimemuwekea yeye, kuna vitu namficha. Japo ameshapekuwa mara kadhaa bila kukuta kitu kibaya
Nikichelewa kurudi nyumbani anahisi nimepitia kwa michepuko
Akikuta picha ya mwanamke kwenye simu yangu, anahisi ni mchepuko wangu.
Nikiwasiliana na...
Baada ya Moses Machali kurudi CCM leo, nimejikuta nasikitika sana, nimejikuta nawakumbuka vijana wengi sana ambao kama sio kushikwa akili na Zitto Kabwe huenda leo wangekuwa mbali sana, lakini baada ya kurubuniwa na Zitto, sasa hivi wameshapotea kwenye ramani.
Yuko wapi Adam Chagulani...
Unaweza kuanika nguo juani huku ukiwa umeificha hata kwa kanga juu yake, lakini ishu sio tu kuanika pia kuna tatizo la kuiacha nguo kwa muda mrefu huku inaendelea kutundika na nyingine kama kabatini vile.
Yani ukipita kwenye nyumba za kupanga utakuta chupi za akina dada wamezitundika kwenye Kamba za nje bila aibu, tena wengine wanaweza kuziacha hapo hata siku tatu.
Ukienda nyumbani kwa mtu ambayo hawana room self contained, utakuta kwenye bafu la public kuna chupi nyingi zimetundikwa, yani...
Yani tendo la ndoa tukifanya basi mara zote mimi ndio muanzilishi, na wakati mwingine huwa nakuta kweli na yeye yupo kwenye hitaji, lakini wakati mwingine hana hayo mawazo kabisa, sasa najiuliza ni wakati gani yeye anahitaji?
Ninapotaka kugegeda yeye hana time, tena ukimgusa ni matatizo. Ukimkera sana anakupa lakini utakukuruka wewe mwenzako hayupo kabisa.
Wakati mwingine unataka mwenzako yuko busy na Tamthiliya, akitaka yeye inabaki kuwa siri yake na mwili wake, yani hasemi chochote, hata ishara hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.