Bila shaka hujawahi kukaa ofisini ukafanya kazi mpaka ukatumia pesa zako mfukoni, hulipwi stahiki zako na bado unafokewa na kutukanwa kama mtoto mdogo, haki za watumishi zinajulikana na huwezi sema watu hulipi stahiki zao lakini kiongozi kila stahiki yako unajilipa, yeye hawezi kufanya vizuri...
DED Gairo amekuwa kiburi na majivuno, halipi stahiki za watumishi akisema mapato madogo lakini yeye kutwa safari na anajilipa, anatukana watumishi bila kujali umri maana wengine wamemzidi sana. Anambeza na kumdharau DC wa Gairo ikiwa ni boss wake.
Waziri Mchengerwa fatilia hili, watumishi Gairo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.