Ukiitaka pesa ya YouTube, kwanza kabisa chukulia kuwa YouTube ni Ofisi yako, Be serious na hiyo kazi.. yani ithamini, chukulia kua hiyo ni kazi rasmin kama zilivyo kazi nyengine!
Usitegenee kupata mamilioni kwenye kazi usiyo-ithamini!
Umeongea kweli kaka!
YouTubers wengi wa bongo wamekosa ubunifu na hawafanyi investment ya kutosha.
Sio tu kuwekeza pesa, bali uwekezaji wa muda na maarifa ni muhimu mno ili kuwa youtuber mwenye mafanikio!
Hapa tz asilimia kubwa ya YouTubers wanaigana, kila mmoja anadeal na entertainment, udaku...
Hili linaweza kueleweka tofauti kutokana na utofauti wa kiimani ila sahau yote zingatia hili kwanza👇
Ikiwa wewe ni Muislam!
Zingatia sana uhalali na uharamu katika utafutaji wako wa riziki!
Imekuwa ni kawaida sana kwa zama hizi kuangalia maslahi ya kidunia zaidi kuliko Akhera yetu!
Uongo...
Kila mmoja anaweza kuwa na mtazamo wake ila ishu ya uwinga sijaona kama ina tatizo lolote ikiwa uaminifu utazingatiwa!
Kitendo cha kumsaidia mtu kupata bidhaa au huduma anayohitaji bila ya janja janja yoyote, Kwakuzingatia kanuni na sheria, naona hata kwa Muumba haina makosa!
Binafsi sijajua...
Ikiwa lengo ni kupata initial income kwa ajili ya kukidhi mahitaji madogo madogo naona ni bora ku-focus na bidhaa moja au niche, kwa mfano phones and Accessories au Home appliances.
Iyo itakupa urahisi wa kujibrand na hata kueleweka/kuaminika!
Naona si vyema kuchanganya bidhaa ikiwa ndo kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.