Recent content by magungila kivinzi

  1. magungila kivinzi

    Askofu Dk. Shoo, amesema anatamani kuona Wakristo na Watanzania wote wanavaa ujasiri na kuwa na sauti ya kuonya

    Kwakweli majasili tupo japo idadi yetu sio kubwa ukilinganisha na waoga
  2. magungila kivinzi

    Katika kumjali Mnyonge na kukua kwa uchumi wa viwanda, sasa TANESCO kuchaji 3% kila unaponunua umeme; jumla unakatwa 21%

    [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
  3. magungila kivinzi

    Wabunge tafakarini: Je, bado tunahitaji miezi 3 kujadili bajeti ya miezi 12?

    Hata mjadala wenyewe kwa sasa hauna tija maana kinachopitishwa hakitekelezwi na malaika wa Mungu mengi sana yaliyo fanyika mwaka wa kibajeti unaoishia yaliamuliwa nje ya mfumo wakibunge
  4. magungila kivinzi

    Nisaidieni Msemaji wa Polisi ACP Mwakalukwa anagombana na nani sasa Cloudstv 360?

    Atakuwa kalukwa huyo ataonekanaje na boss wake kwamba naye anaweza
  5. magungila kivinzi

    Dar: Mbunge wa Kawe Halima Mdee (CHADEMA), afikishwa Mahakamani Kisutu, ashitakiwa kwa makosa 2 apata dhamana

    Badae tungejua huja, hata sie ambao bado hatujaguswa tutaingia kwenye mkumbo mambo yatakapo kuwa magumu, naiman tuna viongoz wenye hekima ndan ya taifa letu tumekuwa mahili kusuruhisha ya ng' ambo kwetu mbona hakupo sawa watusaidie basi kutatua huu mzozo kwann tusubir balaa linalo kuja chonde...
  6. magungila kivinzi

    Dar: Mbunge wa Kawe Halima Mdee (CHADEMA), afikishwa Mahakamani Kisutu, ashitakiwa kwa makosa 2 apata dhamana

    Refa refa unaruhusu rafu zichezwe kwa kiwango hiki na huchukui hatua tunaumizwa huku refa chezesha kwa usawa, mbona unapendeleaaaaaa
  7. magungila kivinzi

    Wanachama 23 na viongozi wa CHADEMA wakamatwa Mahakama ya Kisutu, wapelekwa kituo cha Polisi cha kati

    Nadhani sasa tumeanza kufika mahala pazur presha ipande hatimaye maamuz yatafanyika, refa anampango wakuharibu mechi rafu wanachezewa wao nakadi zinaelekezwa huko pia
  8. magungila kivinzi

    Freeman Mbowe: Zamani tuliona nchi hii ina udikteta uchwara, ila sasa ina udikteta kamili

    Nchi ikishakuwa na watu wanaojiona wao ni bora kuliko wengine haya ndio matokeo yake
  9. magungila kivinzi

    Freeman Mbowe: Zamani tuliona nchi hii ina udikteta uchwara, ila sasa ina udikteta kamili

    Hatar haya mambo leo kwao kesho kwetu tusijione kama tupo sana tukawa tunakenua nakuachia tabasamu tukidhani wao ni wao na ss ni ss badala yake tumwombe Mungu atunusuru na haya yanayoendela
  10. magungila kivinzi

    Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imezuiliwa nchini Canada kutua nchini wakati wowote

    Kwahiyo kumbe nikweli ilizuiliwa sasa walikuwa wanarukaruka nn halafu leo eti mapoyoyo walewale walio kuwa wanakanusha wanashangilia kuna siku mtashangilia hata msumar ukiingia makalion
Back
Top Bottom