ahsante Mwenyezi Mungu Zidi kutupigania sisi wanyonge, Mafisa hawa mioyo yao ni Migumu mithiri ya Mawe, zidi kuilainisha iyeyuke kabisa.
NI HABARI NJEMA HII .
Tamwa TGNP na nini sijui, siamini km mnaweza kuungana na kutoa tamko laini namna hii,
jamani Watanzania hapo ndio mjue hamna pa kukimbilia kwa matatizo yenu. Muombe wenu awapiganie.
Jamani hii barua inadaiwa kuandikwa na kijana aliyekamatwa huko chaina, Vyama vya upinzani vina vyanzo vizuri sana vya habari nyeti, na hata vina watu makini na wenye taaluma mbali mbali, na huyu aliyetuhumiwa ni mtu anayeshikilia wadhifa muhimu sana ktk jamii, ni fedhea na aibu kwa Taifa zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.