Wamemdhulumu nani kila mtu atakula urefu wa kamba yake,
Kuna Mijitu imekwapua EPA,TANGOLD,MEREMETA,KIWIRA,NBC,RADA,ESCROWA NA RICHMOND Mmekaa kimya na hata Majizi mengine yanautaka Urais na mnashangilia kama mazuzu halafu mnamshambulia Lissu kwa stahili ambyo imewekwa na mfumo mbovu wa utawala?