Yaani ccm kuna wakati hawana maono ya baadaye kabisa lakin inauma sanaaaaaa wachache ndo wanafaidi mungu atutangulie kuna wakati makabuli yao yatapingwa mawe kwa sababu yao na kizazi kinachokuja
Viongozi hawawazi shinda za wananchi lakin wanawaza uchunguzi wa 2025 ni aibu sana ,vijijin hakuna umeme ,maji ,hospital na madawa,watoto wanaenda peku mashulen ,wafanya Kazi mishahara haiongezek
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.