Mjamzito alikwenda hospitali akakutana na dactari aliyegoma, mazungumzo yakawa hv; Mjamzito:Dr mtoto hachezi tumboni tangu juzi nifanyeje? Dactari: Meza kitenesi na filimbi,ukiona bado hachezi meza kadi nyekundu atoke nje.
Acha utani,GOOGLE utapata jibu,ila kwa kumbukumbu za haraka haraka ;MIFEPREX is a progesterone receptor antagonist which is used as an abortifacient in the early months of prgnancy.
Nadhani atakuwa na Tinea cruris ambao ni ugonjwa wa ngozi unaosababishwa na fangasi na huwa unapendelea sehemu za nje za maeneo nyeti(groin regions, kama ulivo taja hapo juu) Naomba umshauri afanye yafuatayo; Aweke eneo husika kavu(dry),avae bukta za cotton zilizo nyoshwa na awe anabadilisha...
Jipu(kwa lugha ya kitaalamu ABSCESS) ni mkusanyiko wa usaha ambao unaweza kutokea sehemu yeyote ya mwili.Hali hiyo mara nyingi huwa inasababishwa na maambukizo ya vijidudu aina ya bacteria ambavyo huingia sehemu ya mwili na kupambana na chembe za mwili(body cells) ambazo baadhi hufa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.