Binafsi sizungumzii siasa hapa za uteam hapa nazungumzia hali halisi kama wanavyosema adui wa rafiki yako si adui wako hivyo hivyo hizi tozo kama ni za raisi aliyepita kama huzitaki kwann usiziondoe??
mwaka huu hadi october ipite tutaona mengi na kushuhudia mengi !! anyway hivi kumbe mbowe lile shangingi alilolirudisha huko nyuma alilirudia tena ? vip na vyombo vyake vya habari vililirepot ? hivi hilo shangingi si plate no yake ni KUB mbona kuna sehem lilionekana kwenye mkutano wake ea chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.