RIp mtsimbe,, huyu Bwana ni mara ya kwanza kumsikia ,lakini katika wasifu wa kaka #pmayalla na wanamajumui wengine humu jukwaani imenifunza mambo yafuatayo.......
(1). Die empty
Tumia vipawa vyote Mungu aliyokujaalia Kwa kugusa maisha ya wengine ,Kwa kufanya hivyo hata kama ukilala ule usingizi...
Hata kupewa msaada tu wachakula bila kujalisha mashaka ya kilichomo ndani ni ujuha pia. Kwa nchi ambayo inarasilimali ardhi yenye rutuba, na raslimali watu wa kutosha, Cha msingi selikali iongoze jitihada kuwezesha kilimo Cha umwagiliaji Ili kilimo kiwe Cha uhakika na tutazalusha mpaka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.