It’s true, mimi pia waliniambia nna kiasi kikubwa cha protein kwenye damu yangu ila doctor wangu hakuniambia nipunguze wanga.
Aliniambia nitumie diet ya kawaida
Nurse wangu pia ameniambia hivyo kwamba inawezekana ntakua tegemezi wa hii therapy kwa muda mrefu sana that’s why nimekuja hapa kuomba ushauri wa tiba mbadala.
Kuwekea immunoglobulin kila mwezi inachosha sana na pia matibabu yake yana gharama
Exactly! Nimekuja hapa kuomba ushauri kwa mtu aliewahi kutibiwa huu ugonjwa akapona kabisa ama kwa mtaalam anaeweza kunipa ushauri jinsi ya kufanya kukabiliana na hili tatizo.
Hiyo dawa inaitwaje mkuu maana hizo dalili za huyo ndugu yako zinafanana kama na za kwangu kabla sijaanza kupata matibabu ya immunoglobulin.
Miguu kukaza sana hasa baada ya kupumzika kwa muda ama kulala.
Namsikiliza mtaalamu wangu na ndio maana naendelea na matibabu ya immunoglobulin.
Lakini pia nimekuja hapa Jukwaani kuomba ushauri, Au kama kuna mtu alishawahi kutibiwa kwa TIBA ya asili akapona kabisa anaweza kuwa msaada.
Pia hata maombezi ya watumishi wa Mungu yanaweza kunisaidia.
Kumbuka hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.