Recent content by mafinyofinyo

  1. mafinyofinyo

    Gari inahitajika Land Cruiser Gx 105 mwaka 2002 mpaka 2007

    Kigoma ipi hiyo. Nipe connection nikafanye mambo
  2. mafinyofinyo

    Gari inahitajika Land Cruiser Gx 105 mwaka 2002 mpaka 2007

    Iwe ya diesel. Manual gear. Engine 1hz. Rangi nyeupe. Iwe katika hali nzuri both Engine na transmission bila kusahau body. Budget Mil 20
  3. mafinyofinyo

    Autoimmune disease

    It’s true, mimi pia waliniambia nna kiasi kikubwa cha protein kwenye damu yangu ila doctor wangu hakuniambia nipunguze wanga. Aliniambia nitumie diet ya kawaida
  4. mafinyofinyo

    Autoimmune disease

    Shida ni kula ngano tu ama vyakula vyote vya wanga
  5. mafinyofinyo

    Autoimmune disease

    Ahsante mkuu soon ntakupa mrejesho.
  6. mafinyofinyo

    Autoimmune disease

    Nurse wangu pia ameniambia hivyo kwamba inawezekana ntakua tegemezi wa hii therapy kwa muda mrefu sana that’s why nimekuja hapa kuomba ushauri wa tiba mbadala. Kuwekea immunoglobulin kila mwezi inachosha sana na pia matibabu yake yana gharama
  7. mafinyofinyo

    Autoimmune disease

    TIBA ya asili inaweza kusaidia kutibu pia magonjwa sugu. Usidharau mitishamba.
  8. mafinyofinyo

    Autoimmune disease

    Exactly! Nimekuja hapa kuomba ushauri kwa mtu aliewahi kutibiwa huu ugonjwa akapona kabisa ama kwa mtaalam anaeweza kunipa ushauri jinsi ya kufanya kukabiliana na hili tatizo.
  9. mafinyofinyo

    Autoimmune disease

    Hiyo dawa inaitwaje mkuu maana hizo dalili za huyo ndugu yako zinafanana kama na za kwangu kabla sijaanza kupata matibabu ya immunoglobulin. Miguu kukaza sana hasa baada ya kupumzika kwa muda ama kulala.
  10. mafinyofinyo

    Autoimmune disease

    Namsikiliza mtaalamu wangu na ndio maana naendelea na matibabu ya immunoglobulin. Lakini pia nimekuja hapa Jukwaani kuomba ushauri, Au kama kuna mtu alishawahi kutibiwa kwa TIBA ya asili akapona kabisa anaweza kuwa msaada. Pia hata maombezi ya watumishi wa Mungu yanaweza kunisaidia. Kumbuka hii...
  11. mafinyofinyo

    Autoimmune disease

    Inasaidia eeh?! Itabidi niongeze bidii japo pombe sidhani maana inaongeza sukari
  12. mafinyofinyo

    Autoimmune disease

    Nilishawahu kutumia vitamin B complex but haikunisaidia. Kuhusu neuroton sijawahi kuitumia
Back
Top Bottom