Recent content by Maelephant

  1. Maelephant

    INAUZWA Yamaha

    iko vyema, bei tafadhali
  2. Maelephant

    Je ni sawa vyuo vya uwalimu kutoa astashahada badala ya stashahada?

    ufafanuzi kidogo, vp kwa wale ambao wameanza watalazimika kusitisha masomo?
  3. Maelephant

    Je ni sawa vyuo vya uwalimu kutoa astashahada badala ya stashahada?

    labda wanaandaa vigezo vya kujiunga na hizo kozi
  4. Maelephant

    Je ni sawa vyuo vya uwalimu kutoa astashahada badala ya stashahada?

    kuna waraka umetolewa tarehe kumi mwezi huu unaeleza hayo mabadiliko,
  5. Maelephant

    Msaada: Kutuma vyeti kwenda NACTE

    asante kwa ushauri Kiongozi
  6. Maelephant

    Msaada: Kutuma vyeti kwenda NACTE

    NACTE 26/08/2016 wamenitumia text kwenye email kwamba ni upload original certificate na Transcript, mwanzoni nili upload transcript pekee, kwa wataalam hapo niunganishe hizo mbili kwenye pdf moja? NB Nimeapply diploma in community development
  7. Maelephant

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    kwa mwl ambaye anahitaji kuja mafia Idara ya sekondari, ili nije moro au songea ani PM
  8. Maelephant

    Msomi Mtoa Rushwa

    teh teh teh kama viongozi waliopo ndani ya pccb wenyewe wanapokea rushwa iweje kwa mwl kutoa rushwa
  9. Maelephant

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hi! nipo Halimashauri ya Kigoma Kijijini natafuta mwalimu ambaye anapenda kufanyia kazi huku nami nije Dar, Pwani au Morogoro
  10. Maelephant

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hellow JF kama kuna mwl yupo dar anataka kuja morogoro Municipal anitafute:israel:
Back
Top Bottom