Nimesoma arts nimefeli math na engl naweza kusoma electrical installation level 1 hadi 3 na kuendelea i mean to become electrician mkubwa naomba ufafanuzi kidgo
Wakubwa mi naomba ufafanizi kuhus course ya auto electronically nin nitajifunza nikisomea hiyo course na nitafanya kazi nikisomea iyo course naomba msaada wakubwa kwa anaejua kiundani hii course
Naomba ufafanuzi wakubwa kuhusu course ya auto electronic kiundani zaid kama nikisomea iyo course kazi gani naweza kufanya au nitakuwa mtu gani upande gani au nafas gani nikimalza kusomea
Kaka samahan naomba unifafanulie kazi ya hizo kiundani hili nijue kipi sahihi kusomea au kipi bora naomba unisaidie sijuh chochote kuhusu umeme ila napenda umeme nisomee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.