Labda kama Mheshimiwa alibadili dini na kuwa muislamu ,Lakini kuna wakati alisema yeye alikuwa mshauri mpaka wa Askofu
Na ninavyowajua ndugu zangu akina Mmasy sijui kama Dkt Fatuma ataweza mpambano
Labda kama Mheshimiwa alibadili dini na kuwa muislamu ,Lakini kuna wakati alisema yeye alikuwa mshauri mpaka wa Askofu
Na ninavyowajua ndugu zangu akina Mmasy sijui kama Dkt Fatuma ataweza mpambano
Kongwa Dodoma,Mtoto wa kwanza wa marehemu aliyejitambulisha mbele za vyombo vya habari aitwae Catherine ameulizwa na Ayo TV ana wadogo wangapi amesema hana uhakika wapo wangapi lakini amekiri kuwa yeye aliambiwa na baba yake alimpata akiwa chuo cha wanyamapori Mwika
Cha kushangaza kuna Mama...
Baada ya timu ya Taifa ya kenya kuwafunga goli moja DRC ,Rais Ruto ametoa kwa kila mchezaji zaidi ya milioni ishirini
Kila mchezaji na benchi la ufundi ataondoka na hela ya kenya KSH milioni moja sawa na shilingi milioni ishirini za kitanzania
Hapa Tanzania goli moja ni milioni kumi ,ukigawa...
Ahaaa,Acha kujifariji wewe,Tafuta pesa
Haya ni makosa ya vijana wengi sana kutofanya kazi na kupiga soga mitandaoni ,
Wewe huna pesa ,Unaongea mambo ya siasa kujifariji tu
Ahaaa kuna vituko sana nchi hii
Ok
Wewe ni mjinga hujui habari za kimataifa.Kuna shida kubwa sana kwenye mfumo wetu wa elimu ya darasani.Cha kusikitika ni kwamba wewe mleta mada yawezekana umemaliza chuo kikuu lakini bado umejaa ujinga
Lengo la kupeleka watoto shule ni kuondoa ujinga waweze kupambana na mazingira...
Wamesajili wazee kama msimu uliopita,walisajili Wazee Pacome,Aucho,Chama na Mzize
Yanga wajinga sana walisajili wazee halafu simba akawachangia pointi 6 za ligi
Simba ni tawi la Yanga
Mmmmh unajiamini kitu gani mkuu,Hujafa hujaumbika
Unaweza ukapata ajali anytime na ukawa mlemavu maisha tena bora jamaa anatembea wewe unaweza jikuta huna viungo kadhaa na unatambaa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.