5m? Jamani tuache wadanganya watu.Mie nalima Mwendokasi(Yellow Habanero) nipo Mbezi Msumi-Na kwa yeyote anaetaka kujifunza namkalibisha bure bila malipo yoyote.Na soko Kubwa kwa Dar ni Kigogo Sambuza ikifatiwa na Ilala na Stereo.Tuache watisha watu kwa taarifa zizizo sahihi.
Mkuu Paschal, hii ni 2019/2020 uchaguzi time.Wacha tupewe peremende kwani tumezoea kisha tutakuja pokea kanga na vitenge then imetoka hiyo tukutane 2021 business as usual...hakuna cha kuwa anabadili wala nini.
Mkuu naona kama umeyumba, Magufuri asamehe kwa kosa gani alilifanya Lema? Unataka kumaanisha kuota ni Kosa? Kama kusamehe tunapaswa mpongeza Lema kwani pamoja na kuwekwa mahabusu kwa miezi yote ile bado amekuwa na moyo mkuu, mkakamavu bila kuonyesha kinyongo chochote.
Au mkuu na wewe ni miongoni...
CHADEMA kimepoa kwa kupunguza siasa za uanaharakati ambazo mzee Lowassa alikuwa anashauri hilo sana, amini nakuambia Magufuri anatakiwa kupambana na uanaharakati,na Lissu yuko vizuri sana hapo.
Mkuu Paschal Zitto ni mzuri ila kwa mtu kama Magufuli anaitaji siasa kama za Lissu, siasa zenye kuamsha hisia kali(Rejea bunge la katiba jinsi Lissu alivyokuwa ana ongea ambayo watu walikuwa wanadhani hayaongeleki.
Vilevile kumbuka siasa ni watu, yes Zitto anao watu ila siwa kutosha, Lissu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.