Aisee we jamaa, nakuelewa unachokisema, ila kuna wanawake wanawaudhi waume zao, hawana shukrani hata kidogo, maneno ya kuudhi na kuvunja moyo, mwanaume anajitahidi kumjali kwa kadiri anavyoweza, mwishowe anaambulia matusi... mwishowe anaona isiwe shida,anaamua kaka zake kimya!