Recent content by Madammmony

  1. Madammmony

    Kukojoa mara kwa mara

    Habari wapenzi! Umri wangu miaka 29 nina tatizo la kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku yaani siku nyingine naweza aamka hata mara nne kwenda kukojoa na hii hali ni tangu utotoni. Mama yetu alikuwa anatuwekea "bobo" (kopo la kukojolea) ndani na ni karibia familia yetu yoote ipo hivyo kuamka...
Back
Top Bottom