Sjachukua tu nliandikiwa na Dr na nlimweliza yote nimeamua kushare hapa ili kama kuna wazoefu zaidi nipate tu japo matumaini ya kupona maana nahofia usalama wa kiumbe tumboni 🙏
Hata hivyo nimeanza kuona mabdiliko yaani yale maumivu yamepungua maana tumbo chini ya kitovu lilikua linauma nmesha choma kwan nne nkasema ni share ili npate mawili matatu nashkuru kwa ushauri
Habari samahani wakuu first mimi ni mjamzito wa 5weeks nilienda kupima utrasound nikaambiwa na PID Sugu na UTI nimeandikiwa sindano saba za ceftriaxone pamoja na co-amoxiclav tables nazo za siku saba ambayo nimeze baada ya kumaliza sindano sasa naombeni msaada kuwa hizi dawa zitanisaidia kupona...
Habari samahani wakuu first mimi ni mjamzito wa 5weeks nimeenda kupima utrasound nikaambiwa na PID Sugu na UTI nimeandikiwa sindano 7 za ceftriaxone na pamoja na co-amoxiclav tables ya siku saba nimeze baada ya kumaliza sindano saw itansaidia kupona kwa haraka na ujauzito wangu hautapata madhara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.