Recent content by Madame oresta

  1. Madame oresta

    Dawa za PID na UTI haziwezi kudhuru ujauzito?

    Sawa nashkuru sana kwa ushaur
  2. Madame oresta

    Natumia dawa za PID na UTI siwezi kuathiri ujauzito

    PID ni maambikizi kwenye via vya uzazi kwa ninavo jua mm mfn kwenye mji wa mimba, mirija ya fallopia etc
  3. Madame oresta

    Dawa za PID na UTI haziwezi kudhuru ujauzito?

    Sjachukua tu nliandikiwa na Dr na nlimweliza yote nimeamua kushare hapa ili kama kuna wazoefu zaidi nipate tu japo matumaini ya kupona maana nahofia usalama wa kiumbe tumboni 🙏
  4. Madame oresta

    Natumia dawa za PID na UTI siwezi kuathiri ujauzito

    Asante sana kwa kunipa matumaini
  5. Madame oresta

    Dawa za PID na UTI haziwezi kudhuru ujauzito?

    Dawa ni ceftriaxone injections and co-amoxiclav tables
  6. Madame oresta

    Natumia dawa za PID na UTI siwezi kuathiri ujauzito

    Hata hivyo nimeanza kuona mabdiliko yaani yale maumivu yamepungua maana tumbo chini ya kitovu lilikua linauma nmesha choma kwan nne nkasema ni share ili npate mawili matatu nashkuru kwa ushauri
  7. Madame oresta

    Natumia dawa za PID na UTI siwezi kuathiri ujauzito

    Habari samahani wakuu first mimi ni mjamzito wa 5weeks nilienda kupima utrasound nikaambiwa na PID Sugu na UTI nimeandikiwa sindano saba za ceftriaxone pamoja na co-amoxiclav tables nazo za siku saba ambayo nimeze baada ya kumaliza sindano sasa naombeni msaada kuwa hizi dawa zitanisaidia kupona...
  8. Madame oresta

    Dawa za PID na UTI haziwezi kudhuru ujauzito?

    Habari samahani wakuu first mimi ni mjamzito wa 5weeks nimeenda kupima utrasound nikaambiwa na PID Sugu na UTI nimeandikiwa sindano 7 za ceftriaxone na pamoja na co-amoxiclav tables ya siku saba nimeze baada ya kumaliza sindano saw itansaidia kupona kwa haraka na ujauzito wangu hautapata madhara?
Back
Top Bottom