Ndani ya wiki hii kumekuwa na maneno mengi yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii na haswa baada ya kifo cha aliwewahi kushika nafasi adhimu ya uwaziri mkuu hayati Edo.
Watu wengi wamekuwa wakiongea na kumsema JK bila woga na wasiwasi na huku wakiwa hawana ushahidi wa vyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.