Wewe hujui unazungumza nini. Unataka uonekane unajua lakini hujui kitu. Malumbano yako haya tija kwangu. Wala kwa mtu yoyote, except your own ego which doesn’t benefit anyone except yourself. Wachie wenye uwezo wa kununua tufanye biashara. So back off buddy and give the thread a room.
Kwa mwenye kutaka kunua gari kwa bei hiyo, basi mimi nakuhakishia kuwa hiyo ni best car kwa bei yake. Surely hutoweza kununua gari ya 2010 kwa bei hiyo. So hii ni best na efficient car, ukilinganisha gari zinazouzwa bei hiyo. You are more than welcome kuja kuikagua ili kuthibitisha ubora wake...
Hili gari sio chakavu (scrap) unavyo sema wewe, Gari hujalikaguwa utajuaje kama liko chakavu. Inabidi ujue kutafsutisha kati ya neno chakavu (scap) na ya zamani (old). Na umejuaje kama halina ufaninisi (not efficiency) bila ya kulijaribu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.