Niongeze kitu kimoja ambacho watu wengi wanakipuuza kwenye hii biashara — upatikanaji wa wateja.
Siku hizi watu wengi hawatembei sana dukani kuuliza bei kama zamani, wanaanza na simu au Google kwanza kuangalia options.
Ndio maana hata hardware ndogo zinaanza kujaribu kuweka bidhaa zao online...
Idea nzuri nimeona pia kuna hawajamaa wanaitwa mjenzi.co.tz pia wanafanya kitu kama hiki, ila wao, wauzaji wa vifaa wanajiunga tu wenyewe kwenye website au app halafu wanaweka huduma zao au vifaa vya ujenzi, wateja wakiingia kutafuta bidhaa wanaweza kuwasiliana na muuzaji moja kwa moja. Nimeona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.