Recent content by Mabiba

  1. M

    Msaada kurekebisha jina NIDA

    Sina hela ya kumlipa wakili😀
  2. M

    Msaada kurekebisha jina NIDA

    Namba nilipata baada ya kuifuatilia maana haikutolewa mwanzoni nikaambiwa ilifungiwa kisa majina yalikosewa nikamuuliza yule mdada akasma ni kweli walikoosea wao NIDA hayaendani na kwenye taarifa zangu nilizotoa
  3. M

    Naomba kujua utaratibu wa kurekebisha jina la NIDA

    Asante japo mimi jina lilikosewa wanafanyakazi wa NIDA wakati wa kuingiza taarifa, na alichanganya herufi moja badala ya r akaandika h
  4. M

    Naomba kujua utaratibu wa kurekebisha jina la NIDA

    Hapo naona ikiwa kosa limefanywa na wao hakuna gharama sasa sijajua hata hivyo viambatanisho havihitajika ikiwa kosa lipo kwao, namimi kosa liko upande wa NIDA walifanya makosa wakati wa uandishi.
  5. M

    Naomba kujua utaratibu wa kurekebisha jina la NIDA

    Wakuu samahani, naomba kujua utaratibu wa namna ya kurekebisha jina NIDA, jina langu lilikosewa herufi moja wakati wa kujisajili NIDA badala ya FILIBERT wakaandika FILIBETH hivyo linatofautiana kwenye vyeti. MSAADA TAFADHALI, NI HATUA GANI ZA KUFUATA
  6. M

    Msaada kurekebisha jina NIDA

    Wakuu samahani naomba kujua utaratibu wa namna ya kurekebisha jina NIDA, jina langu lilikosewa herufi moja wakatai wa kujisajili NIDA baapa ya FILIBERT wakaandika FILIBETH hivyo linatofautiana kwenye vyeti. MSAADA TAFADHARI NI HATUA GANI ZA KUFUATA
Back
Top Bottom