hawa tume ya ajira hawako fair,kama wanabase kwenye GPA,hivi hawa wenye lower second na pass wao wanastahili kufanya kazi sekta ipi?manake wanarecruit based on GPA,sasa wenye lower performance hawastahiii government,binafsi ni mhanga hata ktk interview hawaniit,Je tanzania sasa 2naweigh GPA ndo...