Recent content by mabereka

  1. M

    Tume ya ajira mzigo kwa serikali:

    hawa tume ya ajira hawako fair,kama wanabase kwenye GPA,hivi hawa wenye lower second na pass wao wanastahili kufanya kazi sekta ipi?manake wanarecruit based on GPA,sasa wenye lower performance hawastahiii government,binafsi ni mhanga hata ktk interview hawaniit,Je tanzania sasa 2naweigh GPA ndo...
  2. M

    Tanzania women bank

    3 weeks zimepita sasa,nafikiri watakuwa bado coz hawa jamaa wako fair sana.
  3. M

    Mwalimu wa certificate mwanza

    jf,mimi ni binti nimemaliza certificate ya education niko mkoani mwanza,natafuta kazi kwenye shule yoyote nursery au primary iliyoko mwanza,niko competent ktk somo la english,history na kiswahili,nawakilisha kwenu jf mwenye msaada anisaidie kupata kazi.asanteni
  4. M

    Msaada customer care NBC

    wadau nina interest ya kuaply credit officer NBC wadau mwenye kujua net salary anijulishe nilinganishe na NGO ninayofanyia.
  5. M

    Msaada customer care NBC

    wadau nina interest ya kuaply credit officer wadau mwenye kujua net salary anijulishe nilinganishe na NGO ninayofanyia.
  6. M

    Mshahara wa 'bank officer' NMB ni kiasi gani?

    Wadau JF,kwa anayejua starting salary ya credit officer NMB anijuze pls nawaklisha.
  7. M

    Habari njema - Sensa

    wadau mh rais wakati anazindua matokeo ya sensa alisema kuna ajira zaidi ya 400 kwa ajiri ya kufanya tathimini ya sensa,hivyo nawasilisha kwenu wadau mwenye updates kuhusu tathmini hiyo itafanyika lini atupe taarifa,
  8. M

    New salary scale bank officer

    nashukuru kwa taarifa.
  9. M

    New salary scale bank officer

    ok,mshahara wa teller mkombozi bank kwa graduate n kiasi gani? wadau,
  10. M

    New salary scale bank officer

    kwa mtu mwenye bachelor degree mdau.
  11. M

    Kiwango cha mshahara

    na basic salary kwa commercial bank za hapa bongo inarrange kiasi gani?
  12. M

    New salary scale bank officer

    wana jf,mwenye ufahamu juu ya gross na net salary ya bank officer cum teller anijuze wadau.
  13. M

    Tuwapongeze mawaziri waliofanya vizuri mwaka 2012 na tuwashauri kwa 2013.

    bernad membe anastahili pongezi for 2012.
  14. M

    Tanzania women bank shortlist

    wadau asylam allekum,tanzania women bank nimepata tetesi watu wameanza kuitwa tangu ijumaa kwa interview nafasi ya teller na credit,mwenye info tujulishane wadau.
Back
Top Bottom