Umenena mkuu naunga hoja mkono Mia kwa Mia,lkn viongozi hao bado wanafanya kampeni za chini chini waendelee Kuongoza mabaraza hayo,ningekuwa mjumbe SWALI la kwanza Kwao ni kuwa wameyafanyia nini mabaraza hayo mpaka sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.