Upo sahihi lakini hatuwezi kuungana na nguvu ya umma waziwazi pasipo nguvu ya umma kuwa na umoja ili ionekanike tumeelemewa. Tutapata sababu ya kuungana nap.
Shida watanzania tumejengewa hofu ndani yetu na woga kutoka kwa watawala. Ila Nina Imani wakina mdude na team nzima ya kutetea bandali watakuwa na mkakati Bora wa kutuunganisha.
Mkuu upo sahihi sana kwa mtazamo wako. Kiuwalisia mambo hayapo kama unavyo sema.
Tuje kwenye field kwenyewe; familia Ina watoto wangapi,bila kusaahu familia nyingi za hali ya chini ndiyo zinaongoza kuzaliana. Hii yote tunatumia tendo la ndoa kama ni sehemu ya kupungizia stress,na ukija...
Kuna sehemu nimeikuta,lakini kama tutakubali kukumbatia utawala wakifisadi yanatokea kama haya👇
Askari ni Adui namba moja wa Raia
1. Askari amemuua Mwangosi
2. Askari chini ya Zombe wameua wafanya biashara ya madini
3. Askari chini ya JPM wameua watu kwa kisingizio cha wasiojulikana Mbaya...
Wao wamewapa watu wa kuwapambania wakiwamo viongozi wetu tulio waamini serikalini na taasisi zilizo regerege ambazo hazina msimamo ambazo ni raisi kuzionga na kukaa kimya
Kiukweli binafsi naamini ndiyo siku ambayo itakuwa ya kihistoria katika Taifa langu la Tanganyika.
Naamini pia mabadiliko makubwa yatatokea. Sasa Kuna inshu lazima kuwaonea hofu wananchi ambao watajitolea kupambania haki zetu kutoka kwa mafisadi wa nchi hii.
Kama tunavyoelewa asilimia kubwa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.