Chelsea wamefufua nia yao ya kumnunua mlinzi wa Sevilla ya Ufaransa Jules Kounde, 23, baada ya Manchester City kuamua kutomuuza mlinzi wa Uholanzi Nathan Ake, 27 kwa timu ya Thomas Tuchel.
Matumaini ya Chelsea kumsajili Serge Gnabry wa Bayern Munich yamepata pigo baada ya mshambuliaji huyo wa...