safi sana hata mimi nawapi nayo sana ambao hawajui ukimwambia valisha kwanza panachimbika na hiyo inatokana na kutokujua lakini baadae ukimwelewesha anakuelewa ndio maana uzi huu upo hapa kwa ajili ya kueleweshana.
ngoma iko hivi yeye anakupiga wewe force kukupeleka king, wewe utakula wakahuo yeye hajala kete hata moja, sasa ile king iliyo ingia anahitaji kuiua ili na yeye apate king! anakosa kete ya kukuvisha zoezi lake linakua limeshindikana. wewe umesema mtaalam lakin nashangaa unavyosema haiwezekan na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.