jamani kama hujui lugha andika tu kiswahili,wewe na mgombea wenu wote lugha mufilisi msidakie lugha kama hamzijui mtachekwa au waraka wako ukaukuta kwenye makumbusho ya taifa kwa kuharibu lugha,bahati yako kifimbo cheza wa kiingereza hayupo,ungechezea mijeledi weye!
safi sana! tuko kwenye utandawazi.dunia imekuwa kijiji kimoja sms,fax,email au bado anaota simu na barua mpaka ipitie kwa opareta kwa booking ..Kalaghabaho weye! subiri uone nchi inavyochukuliwa asubuhi na Rais msubiria kuapishwa Mh.E.L
ukweli kabisa hata wazazi wetu walikatwa mishahara yao na nguvu kazi walijitolea kwa maslahi ya taifa sio chama..Asisahau hata viwanja vya wazi vinatumiwa na ofisi za mashina na matawi kuweka vitega uchumi vyao ,magereji bubu na sehemu za kulaza magari,halafu tunalalamika tuna timu ya taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.